Habari za Punde

Sherehe za Muungano zilivyosherehekewa Beijing, China

  Keki maalum iliyoandaliwa kwenye maadhimisho ya miaka 49 ya Muungano wa Tanzania. Sherehe hizi zilifanyika katika Hoteli ya West Inn iliyopo Beijing, China
 Balozi Philip Marmo akiteta jambo na mmoja wa wageni walioalikwa kwenye sherehe hiyo
 Wanakikundi cha Sisitambala wakitumbuiza kwenye sherehe za Muungano
Balozi wa Tanzania nchini China, Philip Marmo akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya sherehe hiyo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.