Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji Mjane wa Balozi Habib Suleiman, Bibi Moza Habib, wakati alipokwenda nyumbani kwa Marehemu Kilimani mjini Zanzibar kwa ajili ya kutoa mkono wa pole kwaWanafamilia wa marehemu na kuwapa mkono wa pole wafiwa, Kushoto ni Mama Zakia Bilal na kulia Mama Asha Bilal.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment