Kasulu Yaandaa Bonaza la Michezo Kuhamasisha Uchaguzi na Mapokezi ya Mwenge
wa Uhuru
-
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu,mkoani Kigoma, Mhe. Kanali Isaac Mwakisu, amesema
wananchi wanapaswa kujitokeza kwa wingi kushiriki mapokezi ya Mwenge wa
Uhuru ...
7 minutes ago
nd kikwete, unaahidi donge nono kwa wachezaji mpira kwa kushinda , wakati ushindi huo hauleti pato wala mafao kwa watanzania ambao wengi wetu tuna njaa , magonjwa ,mashule yetu duni , kwa nini hilo donge usilipeleke kwenye maeneo kama hayo ? hata kama hizo fedha zinatoka kwenye pato lako binafsi sidhani kama ni akili kutangaza hilo donge kwa mambo ya starehe / anasa
ReplyDelete