Wanafunzi wa Jimbo la Bububu wakiwa katika harakati za kupanda basi lao la Wanafunzi lililotolewa na Mwakilishi wao Husein Ibrahim Bhaa, Basi hilo limekuwa mkumbozi wa usafi wakati wa kwenda na kurudi skuli, na kupunguza adha za usafiri waliokuwa wakipata wakati wa kurudi majumbani.
WAZIRI MAVUNDE ATAKA WATANZANIA KUPEWA KIPAUMBELE KUSAMBAZA BIDHAA NA
HUDUMA MIGODINI
-
▪️Aelekeza mabadiliko ya Kanuni ili kuruhusu uhaulishwaji teknolojia kwa
Kampuni za Kigeni
▪️Ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 5.3 za usambazaji bid...
4 hours ago
Nampongeza muheshimiwa, tunahitaji wawakilishi kama huyu, nawapa challenge wengine kama kweli ni watetezi wa watu wao
ReplyDelete