Wanafunzi wa Jimbo la Bububu wakiwa katika harakati za kupanda basi lao la Wanafunzi lililotolewa na Mwakilishi wao Husein Ibrahim Bhaa, Basi hilo limekuwa mkumbozi wa usafi wakati wa kwenda na kurudi skuli, na kupunguza adha za usafiri waliokuwa wakipata wakati wa kurudi majumbani.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
1 hour ago
Nampongeza muheshimiwa, tunahitaji wawakilishi kama huyu, nawapa challenge wengine kama kweli ni watetezi wa watu wao
ReplyDelete