Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akiongoza wananchi mbali mbali walioalikwa
katika futari iliyoandaliwa na Benki ya NBC katika ukumbi wa Zanzibar
Beach Resort jana
Wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu walioalikwa
katika futari iliyoandaliwa na Benki ya NBC jana katika Ukumbi wa
Zanzibar Beach Rasort,wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Abdalla Mwinyi Khamis (hayupo pichani)akizungumza nao kwa niaba ya
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Shein
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania,Bibi Mizinga
Mellu,akizungumza machache na kutoa salamu za Uongozi wa Benki hiyo
wakati wa futari waliyoiandaa kwa wananchi wa Zanzibar jana katika
ukumbi wa Zanzibar Beach Resort,Wilaya ya Magharibi Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamohamed Shein,(katikati) na makamo wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,wakiwa katika futari iliyoandaliwa na
Benki ya NBC katika Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort
jana,(kulia)Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Bibi Mizinga Mellu,na
(kushoto) Mwenyekiti wa Bodi Dk.Mussa Assad
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kaabi,akisoma
Dua baada ya kumalizika kwa futari iliyoandaliwa na Benki ya NBC
katika Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort jana,kwa Wananchi wa mbali
mbali na wateja wa Benki hiyo upande wa Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamohamed Shein,(kushoto) akisindikizwa na Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania Bibi Mizinga Mellu,baada ya
kumalizika kwa futari iliyoandaliwa na Benki hiyo jana katika ukumbi
wa Zanzibar Beach Resort nje ya Mji wa Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk.Ali Mohamohamed Shein,(kushoto)akibadilishana mawazo na
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania Bibi Mizinga
Mellu,(kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi
Khamis,(kati) baada ya futari iliyoandaliwa na Benki hiyo jana katika
ukumbi wa Zanzibar Beach Resort nje ya Mji wa Unguja
No comments:
Post a Comment