Wananchi wakiwakatika harakati za kutafuta Kitooleo aina ya smaki katika marikiti kuu ya darajani, katika kipindi hichi samaki wamekuwa na bei kutokana na hali ya bahari kuwa na upepo wa hapa na pale. kipande kimoja cha samaki katika soko hilo kiliuzwa kwa shilingi 2000/= na kuendelea na samaki aina ya sehewa aliuzwa kwa shilingi 4500/= usisema samaki wa kabila aina ya changu aliuzwa kwa shilingi 4500/- na 10,000/= inategemea ukubwa wa samaki.
KARMA YA UONGOZI: SOMO KWA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
NAJIULIZA maswali ya msingi, kama raia mwenye tafakuri na uzoefu katika
uongozi: je, wanaohamasisha maandamano ni wapinzani, wanaharakat...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment