Mdhamini wa Michuano ya Jimbo la Mfenesini Zanzibar Kheri Adam, akizungumza na wachezaji wa timuya Taifa ya Zanzibar baada ya kukabidhi vifaa kwa ajiliya timu hiyokuweza kujiandaa na maandalizi hayo ya michuano ya chalenji, makabidhiano hayo yamefanyika katika kambi ya timu hiyo ilioko katika hoteli ya bwawani Zanzibar.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment