Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Baadhi ya wafanya biashara walioalikwa katika sherehe za uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar,wakiwa katika ukumbi wa mikutano Zanzibar Beach Resort,palipofanyika hafla hiyo jana,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]Kikundi cha Calture Muzical Club,kikitumbuiza wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar,zilizofanyika jana katika ukumbi wa mikutano Zanzibar Beach Resort, {Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]Miongoni mwa Viongozi,wafanyabiashara na wananchi walioalikwa katika sherehe za uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar,wakiwa katika ukumbi wa mikutano Zanzibar Beach Resort,palipofanyika hafla hiyo jana,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]Picha ya kuchora ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,iliyobebwa na Katibu wa kamati ya Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar,Ali Khamis ikinadishwa kuuzwa katika Uzinduzi wa Mfuko huo jana,katika ukumbi wa mikutano Zanzibar Beach Resort,palipofanyika hafla hiyo jana,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Viatu vya makubadhi Mkurugenzi wa Rakgas Zanzibar Protase Ishengoma,wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar, katika ukumbi wa mikutano Zanzibar Beach Resort,palipofanyika hafla hiyo jana,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]Katibu wa kamati ya Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar, Nd,Ali Khamis na Mshereheshaji wa Sherehe za uzinduzi wa mfuko huo Chimbeni Khair,wakinadisha Picha Mji Mkongwe wa Zanzibar iliyotengenezwa kwa ubunifu wa kutumia majani makavu ya Mgomba,katika hafla ya iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano Zanzibar Beach Resort,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa PPF Willium Erio, Picha Mji Mkongwe wa Zanzibar iliyotengenezwa kwa ubunifu wa kutumia majani makavu ya Mgomba,aliyonunua kwa shilingi za Kitanzania Millioni Tano, wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar, katika ukumbi wa mikutano Zanzibar Beach Resort jana,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Uvunaji wa matango bahari kisiwani Pemba
-
Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Ofisi ya Pemba, pamoja na wadau wetu
wa Shirika la IUCN kwa pamoja tumekuwa tukizidisha juhudi mbali mbali za
kuzid...
No comments:
Post a Comment