Kituo Kipya cha Afya ya Wazazi na Watoto katika Kijiji cha Kiuyu Mbuyuni Wilaya ya Micheweni Pemba ni moja ya Miradi ya Serekali katika kutowa huduma ya Afya, Kimefunguliwa hivi karibuni katika shemrashamra za sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar, kwa ajili ya kutowa huduma za Afya za Mtoto na Mzazi katika kijiji hicho Kiuyu Micheweni.
Ambacho
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment