Kituo Kipya cha Afya ya Wazazi na Watoto katika Kijiji cha Kiuyu Mbuyuni Wilaya ya Micheweni Pemba ni moja ya Miradi ya Serekali katika kutowa huduma ya Afya, Kimefunguliwa hivi karibuni katika shemrashamra za sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar, kwa ajili ya kutowa huduma za Afya za Mtoto na Mzazi katika kijiji hicho Kiuyu Micheweni.
Ambacho
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment