Habari za Punde

Kusini Pemba yaifunga Combine ya Kaskazini Pemba 3-1 kwenye mchezo maalum

 
MSHAMBULIAJI wa timu ya ‘Combine’ ya mkoa wa Kaskazini Pemba katikati, Khamis Abrahaman ‘Mburu’ akiwa ameshawatoka walinzi wa timu ya ‘combine ya mkoa wa Kusini Pemba, kwenye mchezo maalumu wa kuchagua wachezaji watakaounda timu ya taifa ya Tanzania, itakayoshiriki mashindano ya AFCON 2015, mchezo uliochezwa uwanja wa Gombani, na kusini Pemba kushinda kwa magoli 3-1 (picha na Haji Nassor, Pemba)

WA kwanza kulia ni mlinzi wa timu ya ‘Combine ya kusini Pemba, Said Idrisa, akichuuna vikali na mshambuliaji wa timu ya ‘combine’ ya mkoa wa kaskazini Pemba, Khamis Abrahaman ‘Mburu’ kwenye  mchezo maalumu wa kuchagua wachezaji watakaounda timu ya taifa ya Tanzania, itakayoshiriki mashindano ya AFCON 2015, mchezo uliochezwa uwanja wa Gombani, ambapo kusini Pemba ilishinda kwa magoli 3-1 (picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.