Huu ni Uharibifu wa mazingira katika makazi ya Wananchi, Kama inavyoonekana pichani kuna baadhi ya Wafanyabiashara wameutelekeza Unga wa Uanga ambao umeharibika na kutokufaa kwa matumizi ya Binaadamu, ukiwa umetupwa katika eneo hili na kuufanya kama ngazi za kupitia wananchi kuelekea nyerere ikizingatiwa wakati huu wa mvua unaweza kusambaa na kuleta madhara kwa wananchi wa eneo hilo
MRADI WA AFYA HATUA WACHANGIA KUSHUKA KWA VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA VVU
MKOANI KIGOMA
-
Mratibu wa UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Via vya Uzazi na Homa ya Ini Mkoa
wa Kigoma, Dkt. Hosea William akielezea namna Serikali na THPS
wanavyoshirikiana...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment