Huu ni Uharibifu wa mazingira katika makazi ya Wananchi, Kama inavyoonekana pichani kuna baadhi ya Wafanyabiashara wameutelekeza Unga wa Uanga ambao umeharibika na kutokufaa kwa matumizi ya Binaadamu, ukiwa umetupwa katika eneo hili na kuufanya kama ngazi za kupitia wananchi kuelekea nyerere ikizingatiwa wakati huu wa mvua unaweza kusambaa na kuleta madhara kwa wananchi wa eneo hilo
NEEC Yakutana na Waandishi wa Habari: Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Majukumu Yake
na Fursa za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Kwa kutambua nafasi
ya vyombo vya habari katika kuelimisha jamii kuhu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment