SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICUZI TV
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea
kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa kutoa...
5 hours ago
shivji kabisa kabisa , nakubaliana nawe , wewe huwezi kuwa sawa na akina lissu na jussa kwa sababu wao sio wanafiki kama wewe , na umejidhihirisha kuwa wewe pia ni mwanasiasa tena mwovu zaidi kuliko wanasiasa waliojitangaza , wewe ulijificha mpaka muda huu ndo umechomoza , too late my friend , tunajua mbichi na mbivu , maneno yako hayasaidii kitu chochote kuuhami muungano , kila kitu chenye mwanzo huwa na mwisho
ReplyDelete