WACHINA WAWILI WAKAMATWA DAR WAKISAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA WALIZOWEKA
KATIKA ‘VITABU FEKI’
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WATUHUMIWA sita wakiwemo raia wawili wa China ambao wamefahamika kwa majina
ya Chein Bai na Qixian Xin wamekamatwa eneo la Post...
41 minutes ago
shivji kabisa kabisa , nakubaliana nawe , wewe huwezi kuwa sawa na akina lissu na jussa kwa sababu wao sio wanafiki kama wewe , na umejidhihirisha kuwa wewe pia ni mwanasiasa tena mwovu zaidi kuliko wanasiasa waliojitangaza , wewe ulijificha mpaka muda huu ndo umechomoza , too late my friend , tunajua mbichi na mbivu , maneno yako hayasaidii kitu chochote kuuhami muungano , kila kitu chenye mwanzo huwa na mwisho
ReplyDelete