DKT.BITEKO - VYOMBO VYA HABARI VIWE WALINZI WA AMANI UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ametoa wito kwa
vyombo vya habari na waandishi nchini kote kuhakik...
5 hours ago
Kufanya mazoezi ni jambo zuri kwani linaweka mwili katika hali ya ukakamavu na afya njema.Ushauri wangu ni kwamba kwa Utamaduni wetu wa Kizanzibari na Uislaam haya mambo ya kuchanganyika wanaume na wanawake katika shughuli kama hizi za mazoezi si mzuri au haufai kabisa to be the honest. Inawezekana kabisa watu kufanya haya mazoezi bila ya kuchanyanyika, yaani wanaume kwao na wanawake kwao. Hii ni kuweka sara kwa wanawake, kwani kama tunavyojua katika mazoezi kuna kuji-expose sana kwa viungo, hivyo ni vyema kutenganisha baina ya jinsia hizi mbili katika jambo kama hili.
ReplyDeleteHuo ni ushairi wangu, ni imani yangu tutaufuata.
sawa sawa maneno yako kwa mfano wanawake wakaanza kuanzia laasir mpaka saa 11:00 jioni na wanaume wakaanza kuazia saa 11 jioni mpaka saa 12 jioni inatosha mazoezi ya kweli nusu saa tu yanatosha
ReplyDelete