Habari za Punde

Dk Shein akutana na Rais wa Comoro Dr Ikililou Dhoinine kwa mazungumzo

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mawaziri mbali mbali  wakati alipowasili katika   Ikulu ya Comoro kwa mazungumzo na Rais wa Nchi hiyo Dr. Ikililou Dhoinine jana akiwa katika ziara ya kiserikali,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Comoro Dr.Ikililou Dhoinine Ikulu Mjini Comoro jana,Dk.Shein yupo Comoro kwa ziara ya kiserikali akiwa na ujumbe aliofuatana nao. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Comoro Dr.Ikililou Dhoinine (katikati) wakiwa katika mazungumzo ya pamoja na ujumbe wa Rais na Viongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Comoro   Ikulu Mjini Comoro jana katika  ziara ya kiserikali akiwa na ujumbe aliofuatana nao. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akifuatana na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Comoro Dr.Ikililou Dhoinine baada ya  mazungumzo Ikulu Mjini Comoro jana,akiwa katika  ziara ya kiserikali  na ujumbe aliofuatana nao. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akiwa na Mke wa Rais wa Jamuri ya Muungano wa Comoro Mama Dhoinine wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Comoro Dr.Ikililou Dhoinine katika viwanja vya Ikulu ya Comoro jana. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiteta na  mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Comoro Dr.Ikililou Dhoinine Ikulu Mjini Comoro jana, wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa kwa ujumbe Serikali ya Mapinduzi ukiwa katika ziara Nchini Comoro. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Rais wa Jamuri ya Muungano wa Comoro Dr.Ikililou Dhoinine wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa kwa ujumbe Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika ziara ya kiserikali nchini Comoro. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.