Usafiri wa b aske.li kwa Visiwa vya Zanzibar ni maarufu kwa wakazi wake takriba kila Mwanan chi anamiliki baskeli mjini Zenj Wanafunzi hawa wa Skuli ya Msingi Muyuni B wakijitayarisha kupanda baskeli ili kurudi nyumbani baada ya kumaliza masomo yao. Baskeli imekuwa ni moya ya usafiri mwepesi na wa nafuu kwa Wakazi wa Kijijini.
WIZARA YA FEDHA YARAHISISHA UPATIKANAJI WA TAARIFA ZAKE
-
Na. Peter Haule na Chedaiwe Msuya, WF, Dar es Salaam
Wananchi wametakiwa kutumia taarifa zinazotolewa na Wizara ya Fedha kupitia
njia mbalimbali za mawasil...
1 hour ago
Jinsi watoto walivokua Masikini Wengine Wanapanda Mikweche yao bila ya Viatu.. Na Tukiambiwa wazanzibari tuzinduke ili Tupate maendeleo ya kweli ndio kwanza Tunahubiri chuki.. Huko Muyuni watu wake wengi ni Anti Opposition Anti wapemba.. Antu SUK
ReplyDelete