Usafiri wa b aske.li kwa Visiwa vya Zanzibar ni maarufu kwa wakazi wake takriba kila Mwanan chi anamiliki baskeli mjini Zenj Wanafunzi hawa wa Skuli ya Msingi Muyuni B wakijitayarisha kupanda baskeli ili kurudi nyumbani baada ya kumaliza masomo yao. Baskeli imekuwa ni moya ya usafiri mwepesi na wa nafuu kwa Wakazi wa Kijijini.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
5 hours ago
Jinsi watoto walivokua Masikini Wengine Wanapanda Mikweche yao bila ya Viatu.. Na Tukiambiwa wazanzibari tuzinduke ili Tupate maendeleo ya kweli ndio kwanza Tunahubiri chuki.. Huko Muyuni watu wake wengi ni Anti Opposition Anti wapemba.. Antu SUK
ReplyDelete