WANAUSHIRIKA wa kikundi cha 'Subira njema' kilichopo Changaweni, Wilaya ya Mkoani wakitengeneza sabuni kwa kutumia vifaa vya kienyeji, ambavyo vimekuwa vikiwasababishia madhara ya ngozi kutokana baadhi ya dawa wanazozichanganya ikiwemo 'Kastik'. (Picha na Asha Salim, Pemba).
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment