Wabunge wa Bunge la AWEPA, wanaowakilisha Afrika na Dunia wakiwa katika ziara yao kisiwani Pemba wakiwa na Mbunge anayeiwakilisha Tanzania Mhe Hamadi Rashid Mohammed, wakimsikiliza Afisa wa Idara Mipango Idara ya Mazao ya Baharii Ndg.Ali Said Hamad.wakati wabunge hao walipotembelea wakulima wa Mwani Tumbe kisiwani Pemba.
Habari : JamiiAfrica , UTPC na IMS Wazindua mradi wa kulinda usalama wa
Waandishi wa Habari Tanzania
-
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na
JamiiAfrica na taasisi ya kimataifa ya I...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment