Wabunge wa Bunge la AWEPA, wanaowakilisha Afrika na Dunia wakiwa katika ziara yao kisiwani Pemba wakiwa na Mbunge anayeiwakilisha Tanzania Mhe Hamadi Rashid Mohammed, wakimsikiliza Afisa wa Idara Mipango Idara ya Mazao ya Baharii Ndg.Ali Said Hamad.wakati wabunge hao walipotembelea wakulima wa Mwani Tumbe kisiwani Pemba.
SERIKALI YAWAONDOA HOFU WAZAZI KUHUSU MTAALA MPYA WA ELIMU MSINGI 2027...
-
NA WILLIUM PAUL, ROMBO.
SERIKALI imejipanga kikamilifu kutekeleza mikakati ya kuhakikisha wanafunzi
wanaomaliza darasa la saba (mtaala wa zamani) na wale ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment