Habari za Punde

CCM Pemba wakutana Chakechake

 
MJUMBE wa Halmashauri kuu ya ya CCM Tifa Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na wana wanachama wa Chama cha Mapinduzi wa Mikoa Miwili ya Pemba, huko katika ukumbi wa Skuli wa Fidel Castro Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 
 
 
MAKAMO mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Zanzibar, Mhe: Asha Bakari Makame akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapinduzi wa Mikoa Miwili ya Pemba, huko katika ukumbi wa Skuli wa Fidel Castro Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.