MAFUNDI wa mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA), Tawi la
Pemba wakiwa katika harakati za kutengeneza chemchem ya maji gawani wete,
iliyoingia mchanga hivi karibuni, ili kuweza kurudisha huduma za maji safi na
lama kwa wananchi wa Wilaya ya Wete, iliyosimama kufuatia chemchem hiyo kuingia
mchanga.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Habari : JamiiAfrica , UTPC na IMS Wazindua mradi wa kulinda usalama wa
Waandishi wa Habari Tanzania
-
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na
JamiiAfrica na taasisi ya kimataifa ya I...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment