Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri cha kwanza kwa mwaka huu wa 2015 Ikulu jijini Dar es salaam leo January 16, 2015.Kulia kwake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda (PICHA NA IKULU).
EWURA YATOA SEMINA KUHUSU LPG, GESI ASILIA NA CNG KWA KAMATI YA KUDUMU YA
BUNGE YA NISHATI NA MADINI
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), leo 7/5/2025,
imetoa semina ya Udhibiti katika utekelezaji wa miradi ya gesi ya kupikia,
gesi ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment