Habari za Punde

Waziri wa Fedha Zanzibar Afanya ziara Kisiwani Pemba

Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akizungumza na Watendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF)Tawi la Pemba, huko kwareni Vitongoji wakati alipokwenda kuangalia eneo lililokusudiwa kujengwa nyumba za Mikopo nafuu
Waziriwa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akipata maelezo ya moja ya risiti ya uwingizaji wa bidhaa kisiwani Pemba, kutoka katika Ofisi ya TRA Bandarini Wete, mara baada ya kufanya ziara ya kushutiza kwenye ofisi hiyo, kushoto ni mkuu wa TRA Wete na kulia ni afisa mdhamini Wizara ya Fedha Pemba
Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akizungumza na walimu wa skuli ya msingi Maziwa ngombe Wilaya ya Micheweni, mara baada ya kukagua hatua zilizofikiwa za ujenzi wa Vyoo alivyoahidi kuvijenga skulini Hapo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.