Habari za Punde

China wakabidhi msaada wa vifaa vya uchunguzi na upasuaji wa macho

  Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Saleh Mohamed Jidawi akitoa maelezo wakati wa Hafla ya kukabidhi msaada wa vifaa vya uchunguzi na upasuaji wa macho kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China.  Wa kwanza (kushoto) ni Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman na (wakatikati) ni Balozi mdogo wa China aliepo Zanzibar Xie Yuanliang.
  Balozi Mdogo wa China Xie Yuanliang akimkabidhi Waziri wa Afya Rashid Seif Suleima msaada wa vifaa vya matibabu ya macho uliotolewa na Serikali ya nchi yake. Hafla hiyo ilifanyika Makao Mkuu ya wizara ya Afya Mnazimmoja mjini Zanzibar.
Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman akitoa shukrani  baada ya kupokea msaada wa dawa za matibabu ya macho uliuotolewa na Serikali ya Jamhuri ya watu wa China katika Hafla iliyofanyika Wizarani Mnazimmoja.
 
Picha na Makame Mshenga Habari Maelezo Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.