WANAFUNZI wahitimu wa Chuo cha Zanzibar College Business Education ZCBE, kilichopo mejengo ya Chuo cha Amali Vitongoji Chake chake Pemba, wakifanya matayarisho ya kabla ya kufanyika kwa mahafali ya kwanza ya chuo hicho ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa Pili wa rais Zanzibar Mhe: Balozi Seif Ali Idd, Jumamosi (picha na Haji Nassor, Pemba).
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment