Habari za Punde

Uzinduzi wa Uwanja wa Mchezo wa Gofu Zanzibar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini akitoa hutuba ya ufunguzi wa kiwanja kipya cha Mchezo wa Gofu kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika Hoteli ya Sea Cliff  iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa Kaskazini Unguja
Msimamizi na Mtengenezaji wa  ujenzi wa kiwanja kipya cha mchezo wa Gofu Bw.Peter Matkovich kutoka Afrika Kusini alipokuwa akitoa shukurani zake wakati wa sherehe za ufunguzi wa kiwanja hicho  jana katika Hoteli ya Sea Cliff  iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa Kaskazini Unguja
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini akisalimiana na wageni waliohudhuria  katika ufunguzi wa Kiwanja kipya cha Mchezo wa Gofu jana uzinduzi alioufanya kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa kaskazini Unguj
Mwenyekiti wa Kampuni ya Sea Cliff Resort and Spa Zamzibar Bw.Subhash Patel (kushoto) akibadilishana mawazo na  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini baada ya kufungua kiwanja kipya cha Mchezo wa Gofu jana alipomuwakilisha  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa kaskazini Unguja
Baadhi ya wageni mbali mbali kutoka Ndani na nje ya Zanzibar wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini  alipokuwa kitoa hutuba ya ufunguzi wa kiwanja kipya cha mchezo wa Gofu kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheinkatika sherehe zilizofanyika jana  katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa kaskazini Unguja,


Baadhi ya wageni mbali mbali kutoka Ndani na nje ya Zanzibar wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini  alipokuwa kitoa hutuba ya ufunguzi wa kiwanja kipya cha mchezo wa Gofu kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheinkatika sherehe zilizofanyika jana  katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa kaskazini Unguja,[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.