Habari za Punde

Dk Shein akutana na mabalozi wadogo wa India na Oman Ikulu

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana  na Balozi Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Satendar Kumar  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kujitambulisha,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Satendar Kumar  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kujitambulisha,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na  Balozi  Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Satendar Kumar  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo baada ya mazungumzo yao aliyefika kujitambulisha,[Picha na Ikulu.]

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana  na Balozi Mdogo mpya wa Oman  aliyepo  Zanzibar Mhe,Ali Abdulla Al-Rashdi  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kujitambulisha,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi Mdogo mpya wa Oman  aliyepo  Zanzibar Mhe,Ali Abdulla Al-Rashdi alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kujitambulisha,[Picha na Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na  Balozi  Mdogo mpya wa  Oman  aliyepo  Zanzibar Mhe,Ali Abdulla Al-Rashdi alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo baada ya mazungumzo yao aliyefika kujitambulisha,[Picha na Ikulu.]

3 comments:

  1. dk Sheni hao si wana nia ya kupindua znz tena naona unawasifu?

    ReplyDelete
  2. au mzee sita kakuruhusu uwe nao karibu?, au hawana matatizo tena?, au kenye kupokea misaada huwa hawano neno? maana hata wakina 6 huwaona wanaomba hukohuko nao.

    ReplyDelete
  3. Mwambie aturejeshee nyaraka zetu haraka.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.