Afisa wa Kitengo cha Kupambana na Kichocho Zanzibar Ndg Mahfoudh Mbarouk,akichukua maelezo kwa Mwananchi wa Shehia ya Kilimahewa Unguja kwa mwananchi Ndg Mohammed Ibrahim, wakati wa zoezi hilo la kupia wananchi haja ndogo kama wana maambukizi ya kichocho, minyoo na maradhi matende, Zoezi hilo linafanyika katika semehu mbalimbali likiwa limeazia katika shehiya ya Kilimahewa
KOCHA LAURENCE AFURAHISHWA NA VIWANGO VYA WACHEZAJI TABORA UNITED
-
Kocha Mkuu wa Timu ya Tabora United Denis Laurence amesema kuwa katika
kipindi cha siku saba tangu alipojiunga na timu anaridhishwa na viwango vya
wachez...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment