Muonekano wa jumba la Trein Darajani wakati wa asubuhi kabla ya kuanza kwa harakati za Wajasiriamali wanaofanya biashara zao katika eneo hilo la mbele ya jengo hilo. Hivi karibuni ilitolewa maagizo kuhama kwa wakazi wa nyumba hiyo ili kupisha matengenezo kutokana na jengo hilo kuchoka likiwa la siku nyingi.
UMUHIMU WA MALEZI BORA KWA WATOTO
-
Sajenti Emmanuel Kisiri ambae ni polisi kata wa kata ya Ikoma Wilaya ya
Serengeti Mkoani Mara ameendelea kuihimiza jamii kulinda maadili ya watoto
Akiendel...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment