Marikiti Kuu ya Zanzibar ikionekana wakati wa mchana ikitowa huduma kwa Wananchi wa Zenj kwa mahitaji mbalimbali kwa ajili ya wakaazi wa Zanzibar marikiti hiyo ikiwa na historia kubwa kwa wageni wanaotembelea Zanzibar hufika katika marikiti hiyo na kupata historia yake ikiwa ni moja ya vivutio vya Utalii katika Kisiwa vja Zanzibar.
CCM BADO TUPO SANA ,TUNAYO AJENDA YA KUDUMU KUWATUMIKIA WATANZANIA-WASIRA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira ameeleza
Chama hicho ni cha kudumu kwasababu kimekabidhiwa ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment