Marikiti Kuu ya Zanzibar ikionekana wakati wa mchana ikitowa huduma kwa Wananchi wa Zenj kwa mahitaji mbalimbali kwa ajili ya wakaazi wa Zanzibar marikiti hiyo ikiwa na historia kubwa kwa wageni wanaotembelea Zanzibar hufika katika marikiti hiyo na kupata historia yake ikiwa ni moja ya vivutio vya Utalii katika Kisiwa vja Zanzibar.
WAZIRI MAKAMBA-AFRICA50 WAJADALI NAMNA YA KUSHIRIKIANA KATIKA UTEKELEZAJI
WA MIRADI YA MAENDELEO
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January
Makamba (MP) akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Africa50, Bw. Alain
Ebobiss...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment