Wananchi wakiangalia gari iliopata ajali katika barabara ya mazizini Fumba, baada ya kupoteza muelekeo na kuingia katika mtoro wa barabara hiyo kama inavyoonekana gari hii yenye namba za usajili Z 870AU, iliacha njia na kuingia katika mtaro huo. Katika ajali hiyo hakuna Mtu aliyejeruhiwa
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment