Wananchi wakiangalia gari iliopata ajali katika barabara ya mazizini Fumba, baada ya kupoteza muelekeo na kuingia katika mtoro wa barabara hiyo kama inavyoonekana gari hii yenye namba za usajili Z 870AU, iliacha njia na kuingia katika mtaro huo. Katika ajali hiyo hakuna Mtu aliyejeruhiwa
WAZIRI MKUU ANADI VIVUTIO VYA UTALII, UWEKEZAJI
-
▪️Ni katika siku ya Tanzania kwenye maonesho ya Osaka World EXPO 2025
▪️Asema mauazo ya bidhaa za Tanzania Japan yafikia sh bilioni 37
▪️Asisitiza Tanzania...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment