Mchezaji wa timu ya Nyuki akiwa na mpira akiandaa kutowa
pasi kwa mchezaji mwezake huku mchezaji wa timu ya Rangers akijiandaa kumzuiya
, wakati wa mchezo wa Zanlink Basketi Ball Kanda ya Unguja zinazofanyika katika
viwanja vya maisara Zanzibar, Timu ya Rangers imeshinda kwa Vikapu 64-46.
Wapenzi wa mchezo wa mpira wa Kikapu Zanzibar wakifuatilia
Ligi ya Zanlink Basket Ball Kanda ya Unguja
zinazofanyika katika viwanja vya maisara.
Mchezaji
wa timu ya Nyuki akimpita mchezaji wa timu ya Rangers wakati wa mchezo wao wa
Ligi ya Zanlink Basket Ball Kanda ya Unguja.
Mchezaji wa timu ya Rangers
akiwa na mpira huku mchezaji wa timu ya Nyuki akijiandaa kumzuiya katika
mchezo hao, uliofanyika uwanja wa maisara timu ya Rangers imeshinda kwa Vikapu
64—46.
Mchezaji
wa timu ya Nyuki akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa timu ya Rangers
Mchezaji
wa timu ya Nyuki akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa timu ya Rangers
Mchezaji wa timu ya nyuki akijaribu kumpita mchezaji wa timu
ya Rangers wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Zanlink Basketi Ball Kanda ya Unguja
michezo inayofanyika katika uwanja wa maisara. Timu ya Rangers imeshinda kwa
Vikapu 64-46.
Mchezaji
wa timu ya Rangers akipiga bao wakati wa mchezo wao na timu ya Nyuki. Mchezo
uliofanyika katika uwanja wa maisara Zanzibar.
Mchezaji wa timu ya Nyuki akijaribu kumpita mchezaji wa timu
ya Rangers .
Mchezaji
wa timu ya Nyuki akimpita mchezaji wa timu ya Rangers wakati wa mchezo wao wa ligi ya Zanlink
Basketi Ball zinazofanyika katika viwanja vya maisara timu ya Rangers imeshinda kwa vikapu 64—46.
No comments:
Post a Comment