Habari za Punde

Watoto wakivuka barabara kwa Usalama

Askari wa Usalama wa Barabarani wakisimamisha magari kutowa fursa kwa Watoto Wanafunzi kuvuka njia kwa usalama bila ya athari kwa usalama wao wakati wakienda Skuli wakiwa katika mitaa ya muembe makumbi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.