Mradi wa uwekaji wa kamera katika barabara mbalimbali ukiendelea na ufungaji wake wa kamera hizo katika maeneo husika ya Mji wa Zanzibar ili kama inavyoonekana moja ya barabara ya Mlandege ikiwa tayari imeshafungwa kamera hizo na zoezi hilo linaendelea sehemu nyengine.
Kimataifa : EU na UNHCR Wasaini makubaliano ya zaidi bilioni 9 kuimarisha
Ulinzi na msaada wa wakimbizi
-
Mwandishi Wetu , Dar Es Salaam.
Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi
Duniani (UNHCR) wamesaini makubaliano mapya ya u...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment