Mradi wa uwekaji wa kamera katika barabara mbalimbali ukiendelea na ufungaji wake wa kamera hizo katika maeneo husika ya Mji wa Zanzibar ili kama inavyoonekana moja ya barabara ya Mlandege ikiwa tayari imeshafungwa kamera hizo na zoezi hilo linaendelea sehemu nyengine.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment