Habari za Punde

Polisi Pemba wafanya ukaguzi wa vyombo

ASKARI wa jeshi la Polisi kikosi cha usalama wa barabarani mkoa wa kusini Pemba, wakifanya ukaguzi wa vyombo mbali mbali vya moto vinavyoingia na kutoka, katika mji wa Chake Chake katika eneo la Michakaeni.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.