ASKARI wa jeshi la Polisi kikosi cha usalama wa barabarani mkoa wa kusini Pemba, wakifanya ukaguzi wa vyombo mbali mbali vya moto vinavyoingia na kutoka, katika mji wa Chake Chake katika eneo la Michakaeni.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
PIC YATEMBELEA MAABARA ZA TBS, YAFURAHISHWA UTENDAJI KAZI WAKE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza
TBS kwa kazi nzuri yenye weledi hususani katika ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment