Habari za Punde

Semina ya kuzitambua sheria zinazokinzana na utawala bora yafanyika Pemba


 BAADHI ya washiriki wa semina ya kuzitambua sheria zinazokinzana na utawala bora, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha sheria Zanzibar ‘ZLRC’ Jaji Mshibe Ali Bakar, iliofanyika Wete Pemba, kwa kushirikiana na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWENYEKITI wa Tume ya kurekebisha sheria Zanzibar ‘ZLRC’ Jaji Mshibe Ali Bakar, akitofa ufafanuzi wa baadhi ya sheria zinazokinzana na utawala bora, kwenye semina ilioandaliwa na tume hiyo na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar’ ZLSC’ tawi la Pemba, iliofanyika Wete Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
AFISA wa Jeshi la Polisi wilaya ya Micheweni Pemba Fakih Yussuf, akiomba ufafanuzi wa dhana ya upelelezi kwanza, kwenye semina ya kueleza sheria zinazokinza na utawala bora, ilioandaliwa na Tume ya kurekebisha sheria Zanzibar ‘ZLRC’ kwa kushirikiana na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.