Habari za Punde

Mlinda sheria anapogeuka kuwa mvunja sheria

BADO wapo baadhi ya wasimamizi wa sheria ndani ya Jeshi la Polisi, wamekuwa na kigugumizi kutii sheria bila ya shuruti, ambapo askari trafik kisiwani Pemba, akiwa amepanda vespa yenye namba za usajili Z 598 FG bila ya kuvaa kofia ngumu ‘helmet’ kama alivyokutwa na mpiga picha wetu- katikati ya mji wa Chake chake kisiwani Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.