BADO wapo baadhi ya wasimamizi wa sheria
ndani ya Jeshi la Polisi, wamekuwa na kigugumizi kutii sheria bila ya shuruti,
ambapo askari trafik kisiwani Pemba, akiwa amepanda vespa yenye namba za
usajili Z 598 FG bila ya kuvaa kofia ngumu ‘helmet’ kama alivyokutwa na mpiga
picha wetu- katikati ya mji wa Chake chake kisiwani Pemba.
FCC YAWANOA WAFANYABIASHARA DODOMA KUHUSU MADHARA YA BIDHAA BANDIA
-
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Salvator
Chuwa,akizungumza wakati wa semina maalum kwa wafanyabiashara mkoani Dodoma
yenye lengo la ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment