BADO wapo baadhi ya wasimamizi wa sheria
ndani ya Jeshi la Polisi, wamekuwa na kigugumizi kutii sheria bila ya shuruti,
ambapo askari trafik kisiwani Pemba, akiwa amepanda vespa yenye namba za
usajili Z 598 FG bila ya kuvaa kofia ngumu ‘helmet’ kama alivyokutwa na mpiga
picha wetu- katikati ya mji wa Chake chake kisiwani Pemba.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment