MRATIBU wa mradi wa Usimamizi wa uvuvi kusini, magharibi ya bahari ya Hindi SWIOfish, Ramla Talib Omar akiwasilisha taarifa na malengo ya mradi huo kwa wajumbe wa kamati tendaji wa PECA, kwenye mkutano uliofanyika ukumbi wa makonyo Wawi Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAJUMBE wa Kamati tendaji ya PECA, wakimsikiliza Afisa Mdhamini Wizara ya mifugo na uvuvi Pemba, Mayasa Hamad Ali, wakati akifungua mkutano wa kuwasilisha mradi wa usimamizi wa uvuvi SWIOfish, uliofanyika ukumbi wa mikutano Makonyo Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment