Naibu
Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura
katikati akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji
Mkuu wa Serikali Bw. Assah Mwambene wa kwanza kulia ya jinsi ya kutunza picha
za matukio mbalimbali wakati alipofanya ziara Idarani hapo leo, kushoto ni
Afisa Habari Mkuu Anna Itenda
Naibu
Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura katikati
akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa
Serikali Bw. Assah Mwambene wa kwanza kulia ya jinsi ya kutunza picha za
matukio mbalimbali wakati alipofanya ziara Idara hapo leo, kushoto ni Afisa
Habari Mkuu Anna Itenda
Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia
Wambura katikati akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari na
Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Assah Mwambene wa kwanza
kulia ya jinsi ya kutunza picha za matukio mbalimbali wakati alipofanya ziara
Idarani hapo leo
Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh.
Anastazia
Wambura kulia akimkabidhiwa moja ya vipeperushi
vinavyotolewa na Bodi ya Filamu
Tanzania ambavyo vina lengo vya kuwaelimisha wasanii, anayemkabidhi ni Katibu
wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fissoo
Naibu
Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura
kulia akipata maelezo kutoka kwa Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce
Fissoo juu ya utendaji kazi wa
Bodi Hiyo wakati Mh. Waziri alipofanya ziara
katika Bodi hiyo leo
jijini Dar es Salaam
Katibu wa Bodi ya
Filamu Tanzania Bi. Joyce Fissoo kulia akimuonyesha takwimu mbalimbali za sekta
ya filamu Mh. Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh.
Anastazia Wambura zinazohusu sekta ya filamu wakati wa ziara aliyoifanya Mh.
Naibu Waziri katika bodi hiyo. (picha na Benjamini Sawe-WHSUM).
No comments:
Post a Comment