WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya
habari kisiwani Pemba, wakiwa katika kikao cha pamoja na watendaji wa Ofisi ya
Mufti Zanzibar, juu ya kuwataka kuendeleza amani na Utulivu Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Pemba Mhe:Hanuna
Ibrahim Massoud, akifungua kikao cha Waandishi wa habari Pemba na watendaji wa
ofisi ya Mufti Zanzibar, huko katika skuli ya Madungu sekondari, juu ya
kuendelea kuilinda amani na utulivu Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Utawala ofisi ya Mufti Zanzibar Shekhe
Othaman Mohamed Saleh akiwasilisha mada ya kwanza juu ya Umuhimu wa kuitunza
Amani nchini, kwa waandishi wa habari Pemba huko katika skuli ya Madungu
Sekondari Chake Chake Pemba.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
KATIBU wa Mufti wa Zanzibar Shekh Fadhili Suleiman
Soraga, akizungumza na waandishi wa habari kisiwani Pemba, mara baada ya
kuwasilisha mada yake huko katika skuli ya Madungu Sekondari.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWANDISHI wa Habari kutoka Idara ya Habari Maelezo
Pemba, Hamadi Shapandu Mwinyi akichangia katika kikao cha waandishi wa habari
na Ofisi ya Mufti Zanzibar, huko katika skuli ya Madungu Sekondari Chake Chake
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment