Uwanja wa
ndege wa Pemba ni moja kati ya matunda makuu ya Mapinduzi Zanzibar ya mwaka
1964, ambapo uwanja huo kwa sasa umeshakamilika ufungaji wa taa maalumu, ambazo
zitaruhusu ndege kutua na kuruka wakati wowote
Genereta ambalo litatumiwa na Mamlaka ya Uwanja wa ndege kisiwani Pemba kwa ajili ya taa,
ambazo zimeshafungwa uwanjani hapo, ambapo sasa itaruhusu ndege kutua na kuruka
wakati wowote
Mafundi ambao
walikuwa wanafunga taa kwenye uwanja wa ndege wa Pemba, wakiangalia Genereta
ambalo tayari limeshafungwa kwa ajili ya matumizi ya taa zilizopo uwanjani
hapo.
Moja kati ya taa zaidi ya 150 zilizofungwa
uwanja wa ndege wa Pemba, ambapo tayari zoezi hilo limeshakamilika na juzi
zilifanyiwa majaribio uwanjani hapo.
Mafundi wakiwa katika harakati za mwisho za kukamilisha zoezi la ufungaji wa taa wiki
iliopita, mbapo taarifa za hivi karibuni zimeeleza kwamba zoezi hilo
limeshakamilika katika uwanja wa ndege wa Pemba
Moja kati ya taa zaidi ya 150 zilizofungwa
uwanja wa ndege wa Pemba, ambapo tayari zoezi hilo limeshakamilika na juzi
zilifanyiwa majaribio uwanjani hapo, (
Picha
na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment