Habari za Punde

Breaking News Tume ya Uchaguzi Zanzibar Yatangaza Tarehe ya Marudio ya Uchaguzi Zanzibar.

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jesha Salum Jecha atangaza Tarehe ya Marudio ya Uchaguzi wa Zanzibar  utafanyika tarehe 20-3-2016. siku ya jumapili. 

Na kusema wagombea watakuwa walewale waliogombea kwa Nafasi ya Urais wa Zanzibar, Wawakilishi na Madiwani. Akitangaza taarifa hiyo leo huko Afisini kwake Maisara Zanzibar.  



3 comments:

  1. sasa kwa wale walonukuliwa wakisema hawana imani na tume ya jecha itakuwaje?

    ReplyDelete
  2. Uchaguzi gani tena huo jamani mbona mnatuumiza vichwa wananchi?sisi tumesha kubali kuwa huku kwetu hakuna tatizo tusubiri 2020 au mpaka tuuwane ndio tutatulia.

    mnazi mmoja.

    ReplyDelete
  3. Mimi naona CUF wastand na msimamo wao bcoz hata wakiwaskiliza ccm wakienda kupiga kura at the end of the day mshindi ashajulikana His Majesty Sheni. Bora wanachama wa CUF wasende kupiga kura siku iyo ya March 20 wende na pirika zao za kutafuta maisha kama kawaida wasije kuumia tena kama hio miaka 25 ilopita. Wajinga hawa wamekusudia kuumiza watu na kuwauwa kisaikolojia.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.