Habari za Punde

Hatuwezi kutenga sehemu maalum kuhifadhi historia ya magari yetu ya zamani?

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar inapaswa kutafuta sehemu maalumu ya kuhifadhi magari ya zamani, ambayo yalitembea kisiwani Pemba katika miaka ya 1970, gari hizo zinaweza kuwa moja ya vivutio vikubwa vya utalii, ni moja ya daladala za kisiwani Pemba ambazo zinaweza kuwa historia kubwa kwa vizazi vijavyo, pichani gari aina ya daladala za mbavu za mbwa, ambalo kwa sasa limekufa kabisa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

2 comments:

  1. Inashindwa kuhifadhi majengo na maeneo mengine ya historian, serikali itaweza kweli kuhifadhi hizo scrappers.

    ReplyDelete
  2. Inashindwa kuhifadhi majengo na maeneo mengine ya historia, serikali itaweza kweli kuhifadhi hizo scrappers.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.