SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar inapaswa kutafuta
sehemu maalumu ya kuhifadhi magari ya zamani, ambayo yalitembea kisiwani Pemba
katika miaka ya 1970, gari hizo zinaweza kuwa moja ya vivutio vikubwa vya
utalii, ni moja ya daladala za kisiwani Pemba ambazo zinaweza kuwa historia
kubwa kwa vizazi vijavyo, pichani gari aina ya daladala za mbavu za mbwa,
ambalo kwa sasa limekufa kabisa.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MAWAZIRI WA SADC WAKUTANA KUJADILI USIMAMIZI WA MAAFA
-
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. Ummy
Nderiananga, ameshiriki mkutano wa dharura wa Kamati ya Mawaziri
wanaohusika na Usima...
3 hours ago
Inashindwa kuhifadhi majengo na maeneo mengine ya historian, serikali itaweza kweli kuhifadhi hizo scrappers.
ReplyDeleteInashindwa kuhifadhi majengo na maeneo mengine ya historia, serikali itaweza kweli kuhifadhi hizo scrappers.
ReplyDelete