Askari wa Kikosi cha Zimamoto Zanzibar wakiwa katika jitihada za kuudhibiti na kuuzima Moto uliosababishwa na hitilafu ya Umeme katika moja ya Transfoma ya Shirika la Umeme Zanzibar katika eneo la Kariakoo na kufanikiwa kuuzima moto huo bila ya kuleta madhara kwa wananchi wa eneo hilo. na kusababisha hasara kwa shirika la ZECO.
VICTORIA FOUNDATION YAKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA SHULE 25 MKOANI GEITA.
-
Taasisi ya Victoria Foundation kwa kushirikiana na Orica Tanzania
inatekeleza mradi wa hatua kwa hatua uitwao Binti Ng'ara, kwa ajili ya
kumsaidia mtoto wa...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment