Askari wa Kikosi cha Zimamoto Zanzibar wakiwa katika jitihada za kuudhibiti na kuuzima Moto uliosababishwa na hitilafu ya Umeme katika moja ya Transfoma ya Shirika la Umeme Zanzibar katika eneo la Kariakoo na kufanikiwa kuuzima moto huo bila ya kuleta madhara kwa wananchi wa eneo hilo. na kusababisha hasara kwa shirika la ZECO.
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment