Askari wa Usalama Barabarani Mjini Zanzibar akiongoza magari katika makutano ya barabara ya Malindi na Darajani barabara hiyo huzidiwa na magari na kusababisha msongomano wa magari na kufanya msongamano huo kufikia hadi marikiti kuu ya darajani wakati wa mchana.
TOGABE MILLS, KISHINDO CHA MAMA WATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO
RUFIJI
-
WANACHAMA wa Kishindo cha Mama kwa kushirikiana na TOGABE Mills watoa
Msaada kwa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.
Wametoa misaada mb...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment