Habari za Punde

Sherehe za Kuapishwa Mawaziri na Manaibu Wao Ikulu Zanzibar leo 10-4-2016

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwasili katika viwanja vya Ikulu huhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar leo asubuhi Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Ikulu kwa ajili ya zoezi la kuwaapisha Mawaziri baada ya kuwateuwa hivi karibuni Hafla hiyo imefanyika katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Viongozi wa Serikali wakihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Mawaziri Ikulu leo.wa kwanza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu.
Viongozi wa Serikali na Dini wa kwanza Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe Said Hassan Said na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Shekh Khamis Haji Khamis wakihudhuria hafla hiyo Ikulu leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Balozi Amina Salum Ali Ikulu Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia saini Hati ya Kiapo ya Mhe Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Mhe Amina Salum Ali.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa  Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimpongeza Mhe Haroun Ali Suleiman baada ya kula kiapo cha Utii.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Mohammed Aboud Mohammed.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia saini Hati ya Kiapo ya Mhe Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Mohammed Aboud Mohammed. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe Haji Omar Kheri.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia saini Hati ya Kiapo ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Haji Omar Kheri
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe Issa Haji Ussi Gavu. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia saini Hati ya Kiapo ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Issa Haji Ussi Gavu. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Mahmoud Thabit Kombo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia saini Hati ya Kiapo ya Waziri wa Afya Mhe Mahmoud Thabit Kombo. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe Balozi Ali Abeid A.Karume.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia saini Hati ya Kiapo ya Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe Balozi Ali Abeid A.Karume.
Mhe Hamad Rashid Mohamed akielekea Jukwaa Kuu la kuapishwa kwa ajili ya kula kiapo cha Utii.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Mhe Hamad Rashid Mohamed.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia saini Hati ya Kiapo ya Waziri wa Kilimo Maliasili Mifungo na Uvuvi Mhe Hamad Rashid Mohamed.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe Dk Khalid Salum Mohammed.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia saini Hati ya Kiapo ya Waziri wa Fedha na Mipango Mhe Dk Khalid Salum Mohammed.
Mhe Moudline Castico akielekea katika Jukwaa Maalum la kuapi katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Vijana Wanawake na Watoto Mhe Moudline Castico.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitia saini Hati ya Kiapo ya Mhe Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Vijana Wanawake na Watoto Mhe Moudline Castico.
Mhe Rashid Ali Juma akielekea katika Jukwaa Maalum lililoandaliwa kwa ajili ya hafla ya kuapishwa Mawaziri Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Mhe Rashid Ali Juma.
Mhe Riziki Pembe Juma akielekea katika Jukwaa Kuu kwa ajili ya kula kiapo cha Utii wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki Pembe Juma.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri wa Ardhi,Maji,Nishati na Mazingira Mhe Salama Aboud Talib. 
Mhe Juma Ali Khatib akielekea katika Jukwaa maalum kwa ajili ya kula kiapo cha Utii kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri Asiyekuwa na Wizara Maalum na Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi Mhe Juma Ali Khatib, hafla hiyo imefanyika katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Mhe Said Soud Said akielekea katika jukwaa maalum kwa ajili ya kula kiapo cha Utii.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Waziri Asiyekuwa na Wizara Maalum na Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi Mhe Siad Soud Said hafla hiyo imefanyika katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akimpongeza Mhe Waziri Asiyekuwa na Wizara Maalum Mhe Siad Soud Said, baada ya kumaliza kuapa wakati wa hafla hiyo iliofanyika leo katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Mhe Harusi Said Suleiman akielekea katika Jukwaa Maalum la kuapia katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Naibu Waziri wa  Afya Zanzibar Mhe Harusi Said Suleiman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akitia Saini Hati ya Kiapo ya Mhe Harusi Said Suleiman.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Naibu Waziri wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo Mhe Chuom Kombo Khamis.   
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisaini Hati ya Kiapo ya Mhe Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Mhe Choum Kombo Khamis. 
Mhe Khamis Juma Maalim akielekea katika Jukwaa Maalum la kuapia katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Naibu Waziri wa  Wizara ya Ardhi Maji Nishati na Mazingira Mhe Juma Makugu Juma.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisaini Hati ya Kiapo ya Mhe Naibu Waziri wa Wizara Ardhi Maji Nishati na Mazingira Mhe.Juma Makungu Juma.
Mhe Khamis Juma Maalim akielekea katika Jukwaa Maalum lililoandaliwa kwa ajili ya hafla ya kiapo cha Mawaziri Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Naibu Waziri wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Khamis Juma Maalim.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisaini Hati ya Kiapo ya Mhe NaibuWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe Khamis Juma Maalim.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Mhe Lulu Msham Abdalla. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Naibu Waziri wa  Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Mmanga Mjengo Mjawiri.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliani na Usafirishaji Mhe Mohamed Ahmad Salum.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.