Kampuni ya Haier yazindua bidhaa za viyoyozi (AC) jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya mabingwa wa vifaa vya kielektroniki Haier wamefanya mkutano wa
uzinduzi wa bidhaa za viyoyozi (AC) katika ukumbi wa Hyatt regency, the
kilimanja...
5 hours ago
ndio pale ninaposema serikali yetu haijitambui wala haijijui, kweli serikali kweli inashindwa kujenga vibanda vidogo vidogo ikawakodisha hao jamaa ili hizo bidhaa zisiwekwe chini? kipindupindu kweli kitakwisha hapo?
ReplyDelete