TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
3 hours ago
ndio pale ninaposema serikali yetu haijitambui wala haijijui, kweli serikali kweli inashindwa kujenga vibanda vidogo vidogo ikawakodisha hao jamaa ili hizo bidhaa zisiwekwe chini? kipindupindu kweli kitakwisha hapo?
ReplyDelete